THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 TimesFM kuchagua ngoma 5 kali wanazopenda na kupiga interview kuhusu Music, Fashion & LifeStyle.
Show inaruka kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share.
Ещё видео!