Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa Ligi kuu Tanzania #KariakooDerby (Simba SC vs Yanga Sc) Utachezwa kuanzia Saa 1 kamili Usiku tofauti na ratiba ya awali (Saa 11 jioni).
Taarifa ya TFF imeeleza kuwa Timu husika zimeshapewa Taarifa ya Madiliko hayo
Simba Sc vs Yanga Sc
⏰ Saa 1:00 Usiku
🏟 Uwanja wa Benjamin Mkapa
Dondosha Utabiri wako hapa 👇
#DreamDigital
![](https://i.ytimg.com/vi/MF8j3itgKQs/maxresdefault.jpg)