DEREVA WA GARI LA SERIKALI ALEWA CHAKARI - ASABABISHA AJALI - VIDEO YASAMBAA AKIWA HAJITAMBUI...
Moja ya video zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii inamuonesha dereva wa gari la Serikali akiwa amelewa chakari na kusababisha ajali ya kugonga bodaboda.
Video hiyo inamuonesha dereva wa gari hilo la Serikali aina ya Land Cruiser lenye namba za usajili STL 8852 akiwa ameshuka kwenye gari akipepesuka.
Baadhi ya mashuhuda wanamuuliza kwamba yeye ni dereva wa Serikali ni kwa nini amelewa kiasi cha kusababisha ajali ambapo anakiri kuwa ni kweli amelewa.
Video hiyo haijataja sehemu ilipotokea ajali hiyo na ni gari la wizara gani zaidi ya bodaboda ikiwa imeanguka na yeye mwenyewe akiwa hajitambui!
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
Ещё видео!