MAPYA YAIBUKA TENA: VITA YA MPINA NA BASHE SAKATA LA SUKARI I DR. MUCHUNGUZI AINGILIA KATI.
Mchambuzi wa masuala ya Maendeleo Kitaifa na Kimataifa ambaye pia ni C.EO wa AFREDA Dr. Dennis Muchunguzi amezungumza na vyombo vya habari Jijini Dar- es Salaam ambapo amemtupia lawama Mbunge Luhaga Mpina "kwanini apeleke ushahidi wake wa tuhuma dhidi ya Waziri Hussein Bashe kwenye vyombo vya habari?hana imani na SPIKA?"
![](https://s2.save4k.ru/pic/MP6y4EHlVJE/mqdefault.jpg)