YANGA vs SIMBA: Inawezekana Simba wasimsahau kabisa aliyekuwa beki wao wa kulia Hassan Ramadhan Kessy kutokana na mechi hii ya Februari 20, 2016.
Timu ikiwa pungufu baada ya Abdi Banda kutolewa kwa kadi nyekundu, yeye anafanya ‘back-pass’, mpira unanaswa na Donald Ngoma, na inakuwa ni goli la zawadi kwa Yanga.
Goli la pili, Kessy tena anakuwa ‘uchochoro’ wa Msuva, na Amissi Tambwe anapiga bao la pili.
Je, tukisema Kessy ndiye aliyekuwa ‘man of match’, tunakosea?
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► [ Ссылка ]
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
Ещё видео!