KUELEKEA Mei 8 itakapopigwa mechi ya Ligi Kuu Bara itakayozikutanisha timu vigogo wa ligi hiyo Simba na Yanga, mapema leo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza waamuzi watakaosimamia mchezo huo.
Katika mechi hiyo mwamuzi namba moja amepangwa kuwa Emmanuel Mwandembwa kutokea Arusha wakati mwamuzi wa akiba atakuwa Ramadhan Kayoko kutokea Dar es Salaam.
![](https://i.ytimg.com/vi/Ms6lTj0KWjY/maxresdefault.jpg)