Katibu Mkuu UVCCM Jokate Urban Mwegelo (NEC) akizungumza na Vijana wa chama cha Mapinduzi wakati wa ziara ya kwanza tangu kuteuliwa kushika nyadhifa hiyo hivi karibuni huko Ghymkhana Wilaya ya Mjini.
#sports #entertainment #BONGONEWSTV Usisahau ku-subscribe channel hii kwa taarifa nyingi zaidi na pia tembelea mitandao yetu ya kijamii Instagram @bongonewstz twitter @bongonewstz na Facebook @bongonewstz
![](https://i.ytimg.com/vi/N7-6PAnCeiI/maxresdefault.jpg)