Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo Bungeni Jijini Dodoma amefuta katika kumbukumbu rasmi za Bunge (Hansard) kauli iliyotolewa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu “Embu tujadili mambo mengine yanayohusu uganga wa kienyeji kwenye uchumi”.
Mhe. Dkt. Tulia, ameyasema hayo Bungeni wakati wa utaratibu uliombwa na Dkt. Mwigulu wakati Mbunge wa Tandahimba Mhe. Katani Ahmadi Katani alipochangia taarifa za kamati Februari 7, 2023.
Ещё видео!