Maandamano ya kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024 uliowasilishwa katika bunge la kitaifa yaliendelea katika eneo la mlima Kenya ambapo vijana waliwasuta viongozi waliounga mkono mswada huo. Waliapa kuendelea na maandamano hayo hadi malalamisihi yao yatakaposikilizwa. Tazama
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#kbcchannel1 #news #kbclive
![](https://i.ytimg.com/vi/NQc4o05EuhA/maxresdefault.jpg)