Rais John Magufuli ameainisha kuwa katika kipindi cha Novemba 2015 hadi Juni 2017 kulikuwa na kaya masikini hewa 73,561 zilizonufaika na fedha za #TASAF. Pia amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kama alinufaika na fedha za #TASAF azirejeshe kwani yeye sio masikini.
#AzamTVUpdates #AzamNews
Tazama Taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App.
Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► [ Ссылка ]
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
Ещё видео!