KENYA: APEWA ADHABU YA KULA PILIPILI BAADA YA KUIBA VIATU MSIKITINI
-
Kijana huyu kwenye video amekamatwa kwenye Msikiti wa Sakina uliopo Mombasa kwa tuhuma za kuiba viatu
-
Inaelezwa kuwa ni tabia yake na amekuwa akizunguka kwenye Misikiti mbalimbali ya Mombasa na kufanya uhalifu huo
-
Kupitia video hii anasikika akikiri kufanya kosa hilo na kumuuzia Mtu aliyemtaja kwa jina la Felix
![](https://i.ytimg.com/vi/Nr6YXXBkDdE/mqdefault.jpg)