Rais Uhuru Kenyatta ameongeza viwango vya chini vya mishahara kwa asilimia 12 kuanzia leo tarehe mosi mwezi Mei mwaka 2022. Akihutubia makala ya 57 ya sherehe za kuadhimisha siku kuu ya wafanyikazi duniani, Rais Kenyatta alisema kwa kutambua mchango muhimu wa wafanyikazi na pia kama serikali inayojali maslahi ya wafanyikazi wake, ipo haja ya kuongeza viwango vya chini vya mishahara ili kuwakinga wafanyikazi wa humu dhidi ya mfumuko wa bei, na bila kuvuruga ushinda wa taifa hili kiuchumi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #ThisIsKBC #DarubiniyaChannel1
![](https://i.ytimg.com/vi/O11dX38Ioa0/maxresdefault.jpg)