Kwa watu wengi wa Magharibi, wazo la kula kriketi na panzi linaweza kuonekana kuwa la kuchukiza, lakini ni vitafunio maarufu katika sehemu za Afrika na Asia. Sio tu kwamba wamejaa virutubishi lakini pia hawana madhara kwa hali ya hewa.
Je, wadudu wanapaswa kuwa sehemu ya mlo wetu?
#bbcswahili #chakula #afya
Ещё видео!