Umewahi kutundikiwa maji ukiwa mgonjwa? Wenyewe tunaita DRIPU 🙃 .. Wataalamu wanasema hayo siyo maji ya kawaida bali ni maji ya tiba. Wanaiita tiba hiyo kwa kimombo "IV Fluid Therapy".
#KurunziAfya kupitia kwake Tatu Yahaya inakukutanisha na wataalamu wa tiba wakifafanua aina ya maji ya DRIPU na kwanini ni muhimu kwenye matibabu.
Tuambie kitu gani kipya umejifunza ?
Ещё видео!