Chizi wa kike ambae anaibuka kati ya penzi wa watu wawili waliopendana toka utoto .. chizi anampenda wa kiume na wa kiume anampenda chizi mpaka anakua haelewi japo anamoa mpenzi wake wa siku zote ila kila aendapo yupo na chizi mpaka nyumbani kwake kwa ndoa yake full vituko yani hahah..
Upande wa pili mama wa kambo wa kijana huyo aliejaa chuki juu ya kijana huyo aliepewa urithi wa mali za baba yake anaenda kwa mganda amroge ili mali achukue yeye.. Sasa huko kwa mganga wa mchongo anajikuta ameingizwa kwenye chama cha wachawi.. Ktk hii Simulizi utajua watu wanavyoanza kua wachawi na maisha ya wachawi wanavyoroga na kila kitu.. Nina mashaka na huyu mtunzi hahh
Hii hapa part 1 ya simulizi hii fupi... Sikiliza sasa hivi..
![](https://i.ytimg.com/vi/OX8W9dE-LHM/maxresdefault.jpg)