Watoto Wawili Wa Familia Moja Wenye Umri Wa Miaka Miwili Na Nusu Wamefariki dunia Katika Tukio La Ajali Ya Moto Uliotokea Jumanne Ya Tarehe 28/02/2023 Katika Kijiji Cha Shinga Kilichopo Kata Ya Uru Kusini ,Wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Mkuu Wa Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji Wilaya Ya Moshi Mkaguzi Msaidizi Hassan Juma Amethibitisha Tukio Hilo Na Amewataja Watoto Hao Waliofariki Kwa Ajali Hiyo Ya Moto Ni Grayson Patrick Ambaye Ni Mtoto Wa Ernest Aloyce Kimaro, na mwingine ni Brigtness Kimaro Ambaye Ni Mtoto Wa Oliver Kimaro.
Kwa Zaidi Tazama Video Hiyo Hapo,
Ещё видео!