#FamaraTV #FamaraMedia #FamaraMediaUPDATES
Jiwe la jahazi nimoja ya vivutio vya kitalii vilivyopo katika hifadhi ya KILWA KISIWANI katika Karne ya Kumi na Sita mji wa Kilwa Kisiwani ulitaka kuvamiwa na Wareno ndipo Jahazi hilo lilipoonekana maeneo ya karibu na Kisiwa maimamu wa Misikiti yote Tisini na Tisa walipiga adhana na kutaja majina Tisini na Tisa ya Mungu,l engo la kutaka kujua kua wageni hao ni wa heri ama washari. Baada ya adhana hiyo kwa kua walikua na nia mbaya Jahazi hilo liligeuka kua Jiwe.
Ещё видео!