Tanzania Grandparents Care Organization, Shirika la kulea wazee, watoto na wanawake, Likiendeleza ziara yake ya Utambumbulisho ndani ya kata ya mtakuja.
Shirika limewafikia wazee wa vitongoji vya Mbabani, Bwiyegule na Kasemi kwa ajili ya utambulisho wake na kufahamu zaidi Shughuli zinazofanywa na shirika la TAGCO.
Shirika limetambua Shida mbalimbali ambazo zinawakumba wazee wengi hususa ndani ya vitongoji vyao, Huku wakitaja Magonjwa ya Macho, Pressure n.k Lakini pia shida ya Mahitaji kama Chakula,Mavazi huku wengi sana wakidai kutelekezwa. Shirika linaomba ushirikiano kwa wadau Tuweze kurudisha Furaha na Afya kwa wazee. kama Kauli mbiu ya shirika inavyosema.
"LINDA WAZEE, OKOA TAIFA"
Karibuni Wote, TAGCO.
![](https://i.ytimg.com/vi/PCd_ZBy624E/mqdefault.jpg)