Wafanyabiashara ambao husafirisha mizigo wamesema hatua ya serikali ya kutaka kuanza kwa safari za treni ya mizigo kupitia reli ya kiwango cha kimataifa - SGR itasaidia kuongeza usalama wa mizigo yao huku wakiishauri serikali kuimarisha miundombinu ya kufika eneo la stesheni.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Ещё видео!