#MVNYERERE
MV NYERERE: Tazama Mtambo Ulioletwa Kukinasua Kivuko!
Kutokana na ajali ya kuzama kwa Kivuko cha MV Nyerere iliyotokea Sept 20 mwaka huu nakusababisha vifo vya zaidi ya watu 200 na wengine 41 wakinusurika jitihada za serikali za kukinasua chombo hicho bado zinaendeklea ambapo tayari mtambo mkubwa kutoka katika Mgodi wa GGM umewasili kwa ajili yakukinasua kivuko hicho kilichozama katika kisiwa cha Ukara.
mtambo huo umewasili mapema leo asubuhi kwaajili yakufanikisha kukinasua kivuko hicho ambacho jitihada za awali zilizochukuliwa tayari zimefanikisha kukigeuza kivuko hicho nakukilaza ubavu ambacho kilizama kifudufudi na
bit.ly/2AAQe1d iOS: [ Ссылка ] Subscribehttp://ww.youtube.com/c/uwazi FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Suazi1 [ Ссылка ] WEBSITE:
[ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]
Ещё видео!