Leo May 29 2021 imefanyika Semina ya Lishe kwa Wabunge Wanawake na Wanaume Wachache ambao ni Vinara kwenye Masuala ya Lishe katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Dodoma iliyoandaliwa na NGO ya Agri Thamani Foundation inayojishughulisha na Masuala ya Lishe na Kilimo iliyo chini ya Neema Lugangira (Mbunge Viti Maalum - NGOs Tanzania Bara) ambapo lengo ikiwa ni kuifanya Ajenda ya Lishe Bora kuwa Ajenda ya kudumu ya Wabunge Wanawake na Wanaume Vinara kuanzia ndani ya Bunge hadi ngazi ya Halmashaurri kupitia Mabaraza ya Madiwani. Ayo TV baada ya Semina hiyo ilipata nafasi ya kuzungumza na baadhi ya washiriki wa Semina hiyo akiwemo Dkt. Thea Medard Ntara, Mbunge Viti Maalum (Vyuo Vikuu Tanzania)
![](https://i.ytimg.com/vi/PL7GEJh7h20/mqdefault.jpg)