"NILIKUWA NA WASIWASI NA FID Q, NILIJUA ATANISALITI, NIMEMPIGIA SANA SIMU USIKI" - STEVE NYERERE..
Msanii maarufu wa filamu nchini na mchekeshaji, Steve Mengere maarufu Steve Nyerere, ambaye alikuwa ameteuliwa kuwa Msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzania(SMT), ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo Ijumaa Machi 25, 2022 ikiwa ni siku chache baada ya baadhi ya wasanii kudai kuwa hana sifa za kuliongoza Shirikisho hilo.
Aidha, Steve ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Rais na shirikisho hilo wakati wote.
“"Nimejiuzulu niendelee na kazi nyingine za msingi, na hii sio kwamba haikuwa kazi ya msi ngi.Nipo katika maisha yao, sitaki kutoka katika maisha yao, mimi sijui kesho yangu itakuwaje.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!