Wabunge kadhaa wa muungano wa Kenya Kwanza wamemtetea mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro kuhusiana na madai kuwa ziara zake za mara kwa mara katika maeneo mbalimbali nchini zinalenga kumpiku naibu naibu rais Rigathi Gachagua katika udhibiti wa siasa za mlima Kenya. Viongozi hao waliokuwa wakiongea katika kaunti ya Nyandarua akiwemo mwakilishi wa wanawake katika kaunti ya Nyandarua Faith Gitau walisema kuwa wanaunga mkono uongozi wa rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ещё видео!