Janga linalosumbua dunia limeathiri wengi. Zaidi wanaoumia ni wanawake na watoto. Lakini pengine wanaoumia zaidi ni watoto yatima. Katika kujaribu kupunguza makali ya janga hili, tunajitahidi kutumia nafasi tulizonazo kutoa chochote tulichonacho kusaidia. Tafadhali ukiweza tuunge mkono kwa kuchangia kidogo ulichonacho katika namba hii ya M-Pesa +255 753 212 223 Shukran sana.
Ещё видео!