MJI WA CHALINZE WABORESHWA MIUNDOMBINU
Na Omary Mngindo, Chalinze - Feb 3
SERIKALI Kuu inayoongozwa na Rais Dkt. John Magufuli inaendelea na juhudi za uboreshwaji wa miundombinu katika mbalimbali Mji wa Chalinze Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Pichani ni uboreshwaji wa miundombinu ya Barabara inayofanyika katika Makao Makuu ya Mji huo
![](https://i.ytimg.com/vi/PnI7zdRlXyI/maxresdefault.jpg)