Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli Pamoja na rais msaafu wawamu ya nne Jakaya kikwete walikuwa n miongoni mwa mamia ya wakazi wa Dar es salaam waliojitokeza kuaga mwili wa msanii nguli wa vichekezo Amri Athuman(King Majuto) aliyefariki dunia usiku wa kuamkia tarehe 09 katika hospitali ya taifa Muhimbili
![](https://i.ytimg.com/vi/Pvb-HyWfA7E/mqdefault.jpg)