Katika Kaunti ya Pokot Magharibi wasomi wamelazimika kwenda kusomea kwenye vyuo vya mbali na nyumbani kufuatilia kufungwa kwa chuo kikuu cha kisii bewa la kapenguria . Chuo hicho kilichofungwa kwa takriban miaka mitatu sasa, baada ya kufanya kazi kwa miaka 8.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Ещё видео!