Rais KENYATTA AKIMJULIA Hali Mama Mzazi wa MAGUFULI Leo
Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta akimjulia hali Mama mzazi wa Rais Magufuli mjini Chato wilayani Geita aliko kwa ziara ya siku mbili.
Pia Rais Kenyatta amepata nafasi kufanya maombi kwaajili kumuomba Mungu ampe afya mama mzazi wa Rais Magufuli.
Leo Julai 6 2019 Rais Kenyatta anatarajia kuhitimisha ziara yake ya siku mbili hapa nchini ikiwa na lengo la kuboresha ujirani mwema.
#RAISIJPM #RAISKENYATTA #ZIARAyaKENTATTATZ
[ Ссылка ]... [ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook:
![](https://i.ytimg.com/vi/PzsHdauIhMY/maxresdefault.jpg)