TAHARUKI! MADAKTARI WADAIWA KUGOMA kwa SAA 6 HOSPITALI ya (ALMC) SELIANI ya ARUSHA MJINI KISA MISHAHARA...
Taharuki Ilitanda leo Asubuhi katika hosptali yaArusha Lutheran Medical centre maarufu kama Seliani ya mjini Iliyopo jijini Arusha Asubuhi ya leo mara baada ya wagonjwa waliofika kutibiwa katika hosptali hiyo kusubiria huduma kwa Muda mrefu ya kuwaona madaktari kupimwa na kutibiwa kwanzia saa moja Asubuhi hadi saa 11 alfajiri walikuwa wakisubiria huduma hiyo ya matibabu bila mafanikio huku wakielezwa kuwa madaktari wapo kwenye kikao.
Habari kutoa vyanzo viche zilidai kuwa kulikuwa na mgomo baridi wa madaktari ulioibuka kutokana na malimbikizo ya mishahara yao ya miezi miwili na siku 15 hivyo madaktari wa hosptali hiyo wakaweka mgomo wakutokutoa huduma hadi swala hilo litapotatuliwe..
Baada ya waandishi wa habari kufika katika hospitali hiyo majira ya saa sita kasoro kweli walikuta kuna kikao cha Madaktari na Uongozi wa Hispitali hiyo ambacho kilisitishwa ghafla baada ya kufahamu uwpo waandishi katika hosptali hiyo na Madaktari mara moja wakarejea kazini na kuendelea kutekeleza majukumu yao...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/Q5hfcyTWQps/maxresdefault.jpg)