“Kama mnavyojua kote duniani sio Tanzania tu ajenda ya mageuzi ni ajenda ngumu sana. Na hii inatokana na ukweli kwamba mwanadamu anapenda kuwa na alichokizoea, isipokuwa kwenye baadhi ya maeneo anapenda kubadilisha badilisha. Lakini vinginevyo, ukimwambia mtu badilika anakwambia mbona hatufanyi hivyo, tunafanya hivi. Vile alivyozea. Kwa hiyo hii ni ajenda ngumu sana. Lakini nataka niwaambie kwamba adjustment kwenye maeneo, kwenye miradi, kwenye maisha ndio maendeleo,” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
Ещё видео!