UNYAMA WA KUTISHA: Baba Ambaka Mwanae!
Aibu, aibu nzito ambayo si rahisi kuieleza kwa mtu mzima mwenye ufahamu wake kutiwa mbaroni na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za ubakaji wa mwanaye wa kumzaa mwenye umri wa miaka 6, tukio hilo limetokea hivi karibuni wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam.
Tafakari ya tukio hili la kuhuzunisha linafikirisha akili kwenye swali la,
”ilikuwaje na alianzaje mzee huyo anayeonekana kuwa mtu mwenye umri kumfanyia mtoto wake unyama huo katika ulimwengu huu uliojaa wanawake wa kila aina ?”
lnstal GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]...
TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ]
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
![](https://i.ytimg.com/vi/QQ3efWOJR_M/maxresdefault.jpg)