🎯🎯Unawezaje kujua kuwa wewe sio muuzaji mzuri?🙆♂️
✍️ *Kama wateja wanauliza bei tu lakini hawanunui* (mteja akikupigia simu ina maana kaipenda bidhaa, kama asiponunu ina maaana wewe umeshindwa kumshawishi Mteja huyo kununua bidhaa kwako)
✍️ Kama wateja wanakupigia simu alafu Wanakwambia watachukua siku nyingine
✍️ Kama wateja wanasifia tu biashara yako lakini hawanunui
😢 Kama mwenzako mwenye bidhaa kama yako anauza lakini wewe hauuzi
✍️ Kama hauuzi kabisa
.......
Ещё видео!