Weekend hii ilichezwa michuano ya Dar Youth Cup hii ni michuano inayohusisha watoto wa dogo, ukiachana na mtoto wa January Makamba, Mtoto wa Irene Uwoyo huyu hapa ni mtoto wa mchambuzi wa soka kutokea Clouds Media Group Shaffih Dauda, mtoto wake anaitwa Solskjaer Dauda (Sosha) licha ya kuonekana kuwa na mwili wa kibonge kama Harry Kane enzi za utoto lakini Solskjaer Dauda alionesha umahiri wa kucheza soka hususa mipira iliyokufa.
Ещё видео!