Kamati ya uendeshaji wa ligi ya bodi ya ligi Tanzania imeshusha lungu kwa klabu mbalimbali za ligi kuu na ligi daraja la kwanza baaada ya kukiuka sheria na taratibu za uendeshaji wa ligi kwenye michezo ilizozihusu timu hizo
#Dailynews #Habarileo #TSNDigital #Spotileo
Baadhi ya timu zilizopingwa faini na kuchukuliwa hatua ni pamoja na Singida United ambao walifanya kosa la kutokuingiza timu kwenye vyumba vya kubadilishia ngu kwenye mchezo wake dhidi ya Simba
Ещё видео!