Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika Kata ya Handali wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma wametangwana na mwekezaji wakigombea eneo la uchimbaji.
Kufuatia mgogoro huo, Waziri wa Madini, Antony Mavunde ametoa maagizo matatu ikiwemo kupiga marufuku kwa mgeni yeyote kwenda eneo la uchimbaji bila msaada wa kiufundi uliosajiliwa na wizara yake.
Ещё видео!