WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Namtumbo na kusema Serikali haiwezi kukaa kimya huku baadhi ya watumishi wakifanya vitendo vya hovyo.
"Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameleta shilingi bilioni 7 za ujenzi wa hospitali hii. Fedha hizi za ujenzi ni lazima wananchi waone thamani ya fedha zao. Siwezi kukubaliana na utendaji wa hovyo. Fedha ziko hapa tangu Aprili, ni kwa nini hadi sasa majengo yapo kwenye lenta? Huu ni ubabaishaji," amesema.
Subscribe hapa : [ Ссылка ]
Tufuate Kwenye Twitter : [ Ссылка ]
Like Ukurasa wetu wa Facebook : [ Ссылка ]
Ещё видео!