Cheki Machinga Walivyomvaa Mhe. Mwigulu Kupigana nae Selfie😅🤝 #shorts #wamachinga #kariakoo #mwigulunchemba
Baada ya mkutano wa Waziri Mkuu na Wafanyabiashara wa Kariakoo, Leo Mei 17, Wamachinga walimzonga Waziri wa Fedha, Mhe. Mwigulu Nchemba kwa ajili ya kupiga nae Seilfie,,,,,licha ya kushutumiwa vikali na baadahi ya wafanyabiashara hao kwenye masuala ya kodi...
#kariakoo #wazirimkuu #kassimmajaliwa
FULL VIDEO: [ Ссылка ]
Ещё видео!