Kila Mmoja ana jambo analo pambana nalo katika maisha haya,
Ikiwa ni jambo baya kuliacha, au jambo jema kuliendeleza.
Katika mapambano haya anakutana na changamoto nyingi zinazomuumiza lakini yote ili aupate uzima wa milele.
Ombi lako liwe vita unavyovipiga ukaone matunda yake yaani huo uzima wa milele.
Contacts: +255688008300, +255789014067, +255767943403
Location: Kigamboni ,Dar es Salaam -Tanzania
Email: galilayacentralsdachurch@gmail.com
![](https://i.ytimg.com/vi/RLCqu6GwN7o/mqdefault.jpg)