Mzee Buruhani Rashid Mtimbuko Mkazi wa Kijiji cha Msindaji Kata ya Mwambao wilayani Kibiti Mkoa wa pwani akielezea
mkasa mzima wa kifo cha kijana wao, jitihada walizofanya kama familia kutafuta haki ya marehemu pamoja na Ombi lao kwa Jeshi la Polisi na Serikali Kuu
Marehemu anaitwa Ayubu Mohamed mwenye umri wa Miaka 36 aliyeuawa Tarehe 30 Agosti 2021 akiwa shambani kwake.
Marehemu ameacha mke wa watoto wawili.
![](https://i.ytimg.com/vi/RXzBWLifje8/maxresdefault.jpg)