Idadi ya waathiriwa wa ukatili wa maafisa wa polisi wakati wa maandamano inazidi kuongezeka, watu wawili zaidi wakifariki kutokana na majeraha ya risasi. Katika kaunti ya Mombasa familia moja imegundua jumamosi hii kuhusu mwana wao ambaye mwili wake umekuwa ukihifadhiwa katika makafani ya hospitali ya Coast General baada ya kufariki kutokana na majeraha ya risasi.
![](https://i.ytimg.com/vi/Rp3o_ZwyMyI/maxresdefault.jpg)