''Waziri Mwigulu, Mbarawa Wakamatwe mapema iwezekanavyo, wafunguliwe mashtaka haraka ''MPINA ALIPUKA
Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina ametaka Waziri wa fedha na Mpango Dkt Mwigulu Nchemba na waziri wa Uchukuzi Pro: Makame Mbarawa wakamatwe na kufunguliwa makosa ya uhujumu uchumi wa Nchi.
Mpina ametoa kauli hiyo wakati akichangia Bungeni mjini Dodoma
![](https://s2.save4k.ru/pic/S1ZYVXm2Imw/maxresdefault.jpg)