Wafuasi wa stesheni ya Egesa FM walipata fursa adimu ya kujumuika na watangazaji wanaowaenzi kwa burudani na mafunzo ya ufundi kwa wanafunzi waliokosa nafasi katika vyuo vikuu huko Nyamira.
Watangazaji wa Egesa, stesheni inayopeperusha matangazo kwa lugha ya abagusii chini ya royal media services, waliwahimiza wazazi kuwapeleka wana wao katika taasisi za kiufundi ili wapate ujuzi wa kujiajiri na kuinua uchumi.
![](https://i.ytimg.com/vi/SIBx5p7Irxk/maxresdefault.jpg)