Wafanyabiashara katika Soko la Kimataifa la Kariakoo wamefunga maduka yao kugomea kile wanachodai ni kero kutoka Mamlaka ya ukusanyaji Mapato nchini humo. Wafanyabiashara hao wameeleza kuendelea kufunga maduka yao hadi pale watakapoonana na Rais wa nchini hiyo Samia Suluhu Hassan kumueleza yanayowasibu. Mwanahabari wetu Idd Uwes na taarifa zaidi kutoka Dar es salaam, Tanzania.
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
![](https://i.ytimg.com/vi/SSQ35MwUUPg/maxresdefault.jpg)