Watu wanne wa familia moja akiwemo baba na wanawe watatu wamefariki kwa kuteketea kwa moto baada ya nyumba waliyokuwa wanaishi katika Mtaa wa Kwagiriki Kata ya Sakina mkoani Arusha kushika moto.
Kufuatia vifo hivyo Serikali imetangaza kugharamia mazishi hayo ambapo taarifa zinasema baba ambaye ni Mtumishi wa TANAPA, Zuberi Msemo aliungua sehemu kubwa akiwaokoa watoto zake watatu waliofariki papo hapo.
✍@official_jennifersumi
#tanapa #ajaliyamoto #sakina #arusha #familia #vifo
![](https://i.ytimg.com/vi/SstBFQ5gqXA/mqdefault.jpg)