Rais William Ruto aliutupilia mbali muswada wa fedha wa mwaka 2024 hii leo, kutokana na shinikizo la umma la wiki iliyopita lililokamilika kwa maandamano ya kuupinga. Rais Ruto alisema hatatia saini muswada huo wakati wa mazungumzo na wanahabari katika ikulu ya Nairobi na akakubali kuuondoa, akithibitisha makubaliano ya pamoja miongoni mwa wabunge waliohudhuria kikao hicho.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#kbcchannel1 #news #kbclive
![](https://i.ytimg.com/vi/Swxe8QDx9Kc/maxresdefault.jpg)