MAJONZI: WATU 4 wa FAMILIA Moja WALIOFARIKI DUNIA Wazikwa MKOANI KILIMANJARO..
Miili ya watu wanne wa Familia moja ambao walifariki kwa kuteketea kwa moto huko Bombo mkoani Tanga imezikwa leo mkoani Kilimanjaro, ambapo mkuu wa mkoa huo, Dr Anna Mghwira, ameongoza mamia ya waombolezaji kwenye mazishi hayo.
Simulizi za tukio hilo zinadokeza kuwa Sigfield Kimbi , Mkewe Eurelia na watoto wao Ezra (6) na Samwel (8) walifikwa na mauti baada ya nyumba walimokuwa wakiishi kuteketea kwa moto ambao chanzo chake kinatajwa kuwa ni hitilafu ya umeme.
Mashuhuda wanasema Eurelia alijaribu kunusuru maisha ya watoto wao lakini hakuweza kutokana na moto kusambaa kila kona ya nyumba yao na watu wa kwanza kufika kwenye tukio hilo wanasema walikuta mwili wa mama yao ukiwa umewakumbatia watoto wake huku baba yao akifariki akiwa njiani kupelekwa hospitali.
Hatimaye miili yao imezikwa hapa Iuru Kisomboko kaskszni magharibi mwa mkoa wa Kilimanjaro .
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!