Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Emmanuel Kwizera (40) mkazi wa kijiji cha Kanoge wilaya ya Mpanda mkoan Katavi anadaiwa kutoroka na binti yake na kwenda kuishi naye kinyumba huku akimtelekeza mkewe ambaye ni mgonjwa na hana msaada wowote.
Akisimulia kisa hiki mama mzazi wa binti huyo Mwajuma Ramadhani amedai kwamba mumewe alitoroka na binti yao baada ya kumpa ujauzito miaka mitano iliyopita akiwa na miaka kumi na nne na akiwa anasoma darasa la nne.
Facebook: [ Ссылка ]
Twitter: [ Ссылка ]
Subscribes: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/T78JlRUurZE/mqdefault.jpg)