Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa leo Julai 26, 2022 jijini Dodoma amewaeleza waandishi wa habari kuwa Serikali imekutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) na viongozi wa vyama vinavyounda shirikisho hilo kwa ajili ya kuwasikiliza, baada ya mazungumzo ya awali viongozi hao wameomba kupewa muda wa majadiliano na baadae watakuja kuzungumza na Serikali.
Kwa habari zaidi:
Soma: [ Ссылка ]
Twitter: [ Ссылка ]
Facebook: [ Ссылка ]
Subscribe kwa makala zaidi za kina na kiuchambuzi @Nukta TV
Ещё видео!