Wananchi wa Mkoa wa Arusha wakifurahia huduma za vipimo na matibabu zinazotolewa kwenye kambi ya madaktari bingwa na wabobezi inayofanyika kwa siku saba Mkoani Arusha kwenye viwanja vya Sheikh Amri Abeid chini ya usimamizi na uratibu wa Mkuu wa Mkoa Mhe. Paul Christian Makonda.