Kuchakata kanuni za ligi msimu ujao, ratiba na na kutoa mafunzo kwa wadau wa ligi ni mambo matatu ambayo CEO wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Almasi Kasongo amesema wanayashughulikia kuelekea msimu ujao wa 2024/25.
Kasongo pia ameonesha kuridhishwa na namna NBC Premier League msimu 2023/24 ilivyoendana na matakwa ya kikanuni.
#NBCPL #RatibaNBCPL #Kasongo #BodiYaLigi
![](https://i.ytimg.com/vi/TIOWM9JdURA/maxresdefault.jpg)